Nuru
Rais Dkt. Magufuli amemteua Mbunge wa Iramba, Dkt. Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa Katiba na Sheria. Uteuzi wa Dkt. Nchemba unaanza leo tarehe Mei 2, 2020.
Dkt. Nchemba anachukua nafasi ya Balozi Dkt. Augustine Mahiga ambaye amefariki dunia.
Shirika la Habari la Korea Kaskazini (KCNA) limechapisha picha zinazomuonesha kiongozi wa nchi hiyo, Kim Jong Un akizindua kiwanda cha mbolea eneo la Sunchon katika Siku ya Wafanyakazi (Mei Mosi). Kwa siku za hivi karibuni kumekuwapo taarifa kuwa kongozi huyo alikuwa mahututi.
08/04/2020
Welcome | Karibu
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Culinary Team
Attire
Address
StoneTown
Stone Town
255