Nuru

Nuru

Share

02/05/2020

Rais Dkt. Magufuli amemteua Mbunge wa Iramba, Dkt. Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa Katiba na Sheria. Uteuzi wa Dkt. Nchemba unaanza leo tarehe Mei 2, 2020.

Dkt. Nchemba anachukua nafasi ya Balozi Dkt. Augustine Mahiga ambaye amefariki dunia.

02/05/2020

Shirika la Habari la Korea Kaskazini (KCNA) limechapisha picha zinazomuonesha kiongozi wa nchi hiyo, Kim Jong Un akizindua kiwanda cha mbolea eneo la Sunchon katika Siku ya Wafanyakazi (Mei Mosi). Kwa siku za hivi karibuni kumekuwapo taarifa kuwa kongozi huyo alikuwa mahututi.

08/04/2020

Welcome | Karibu

Want your business to be the top-listed Media Company in Stone Town?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Culinary Team

Attire

Address


StoneTown
Stone Town
255