Hitra mwalongo
07/05/2026
Shirika la utangazaji la Iran la IRIB, likimnukuu afisa wa kijeshi, linasema jeshi la Iran lilirusha makombora kwa "vitengo vya maadui" kufuatia kile afisa huyo alichoeleza kuwa ni shambulio la Marekani kwenye meli ya mafuta ya Iran katika Mlango wa bahari wa Hormuz.
Afisa huyo alisema "vitengo vya adui" vilipata uharibifu na kuondoka eneo hilo
Want your business to be the top-listed Media Company in Njombe?
Click here to claim your Sponsored Listing.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Njombe