bfm_radio
29/08/2022
Mwanaume mmoja nchini Afrika Kusini mwenye umri wa miaka 57, aliyetambulika kwa jina la Joseph Kagiso Ndlov alikimbia mbio za kilometa 90 sawa na maili 56 ili kumchumbia mwanamke aitwaye Prudence.
Mwanaume huyo alipigwa picha akiwa ameshika bango la kumtaka mwanamke huyo aoane naye alipokaribia kumaliza mbio za Marathon za Comreds.
Bango lilikuwa na ujumbe unaosomeka hivi, "Prudence utakubali kuwa mke wangu? Nimekimbia kilometa 90 kwa ajili yako".
Unahisi Prudence alikubali? Weka maoni yako hapa 👇👇👇
28/08/2022
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania imeongeza timu ya wanawake ya Simba Queens kwa kutwaa ubingwa wa ligi ya wanawake SAMIA CUP na kuitakia kila raheli katika Mashindano ya kimataifa ambayo yatafanyika nchini Morocco.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Njombe