HEALTH PLANET

HEALTH PLANET

Share

Tunatoa huduma zifuatazo;
�Ushauri kuhusu matatizo ya mzunguko wa hedhi, ujauzito na ugumba.
�Ushauri kuhusu dalili za magonjwa mbalimbali ya wanawake, watoto na wanaume. Gharama ya Elimu fupi au ushauri kwa njia ya whattsap au facebook chats ni Tshs 2000 tu, lipa kwa MPESA no 0752354147, AIRTEL money 0784082190, halafu uliza swali lako kwa kubonyeza kwenye kitufe kilichoandikwa "Message'' hapo kwenye page, au tuma ujumbe Whattsap kupitia no 0752354147

21/10/2022

JE UNAFAHAMU BAADHI YA STYLE ZA HUSABABISHA UGONJWA WA KUNYONYOKA NA KUPOTEZA NYWELE?


wa kunyonyoka na kupoteza nywele hufahamika kitaalam k**a Alopecia
jinsia zote japo hutokea zaidi katika umri wa utu uzima kwa wanaume.
kutokea kwa mda au ukawa kudumu.
wa nywele kwa kiwango kikubwa husababisha .

HUSABABISHWA NA NINI?
1. Hali ya kurithi katika ukoo, husababisha kupoteza nywele kwa kiwango kikibwa hasa katika umri wa utu uzima kwa wanaume.

2. Mapungufu katika vichocheo(hormones) k**a androgens na vile vitokanavyo na tezi ya thyroid.

3. Baadhi ya dawa za kutibu
a)saratani,
b)shinikizo la damu,
c)magonjwa ya magoti k**a arthiritis na gout,

4.Msongo wa mawazo na mshtuko wa kihisia(emotional stress).

5.Kusuka na ku set nywele kwa kupitiliza pia husababisha nywele kunyonyoka kwa sababu ya kuvutika sana( style hizi hasa (mkia wa nguruwe), (mistari ya mahindi))

07/04/2022

JE UNAFAHAMU KUNYONYESHA KUNAWEZA KUTUMIKA K**A NJIA YA UZAZI WA MPANGO?

👉Katika hali ya kawaida mama anaenyonyesha mwili wake hutengeneza homoni aina ya Prolactin inayosaidia kutengeneza maziwa.

👉Homoni hii pia huzuia ovari za mwanamke kupevusha mbegu za k**e, katika hali hiyo kuzuia mwanamke kubeba ujauzito wakati ananyonyesha.

👉Kutumia kunyonyesha k**a njia ya uzazi wa mpango hufahamika kitalam k**a Lactational Amenorrhea Method(LAM), mama anaenyonyesha anaweza kutumia njia hii kuzuia kupata ujauzito mapema.

👉Ni njia salama ya uzazi wa mpango kwa sababu ni ya asili, haina athari kwenye homoni za kijinsia na inakubalika kulingana na kanuni za madhehebu mbalimbali.

👉Inaweza kuzuia ujauzito kwa zaidi ya asilimia 98.

👉 Kupanga uzazi kwa njia ya kunyonyesha inawezekana k**a;
💥Mama hajaanza kuona siku za hedhi,
💥Mama ananyonyesha kila mara mtoto anapohitaji kunyonya kila siku angalau kila baada ya masaa 4 mchana na usiku,
💥Mtoto hajazidi umri wa miezi 6.

👉Mama anaelisha mtoto kwa kukamua maziwa hawezi kufanikiwa kutumia njia hii, mfumo wa kuzuia kupata ujauzito unakuwepo tu k**a mama ananyonyesha mtoto.

Je unahitaji kupata elimu au ushauri wa kiafya? Tembelea page yetu au tufikie kupitia no 0752354147

22/03/2022

INAWEZEKANAJE MWANAMKE KUBEBA UJAUZITO WAKATI AKIWA MJAMZITO.

Katika hali ya kawaida mwanamke akishatunga ujauzito,
👉Homoni aina ya progestrone huongezeka ili kukuza ujauzito uliotungwa na kuzuia mayai(mbegu) nyingine za k**e kupevuka.
👉Pia uteute mzito hutengenezwa na kuziba kwenye mlango wa kizazi ili kuzuia mbegu za kiume kupita.

hali inayotokea kwa nadra sana, inayofahamika kitaalam k**a ,
👉 Homoni ya progestrone na uteute huwa havitengenezwi kwa kiwango cha kutosha.
👉Katika mzunguko wa hedhi wa mwezi unaofuata hali hii hufanya ovari za mwanamke kutengeneza na kupevusha mbegu nyingine ya k**e wakati mwanamke huyo ni mjamzito tayari.
👉Pia uhaba wa uteute mzito kwenye mlango wa kizazi huruhusu mbegu za kiume kupita na kurutubisha mbegu ya k**e iliyopevuka.

💥Hali hii husababisha kutunga ujauzito mwingine na mtoto mwingine kukua kwenye mji wa mimba.
💥Watoto wawili hukua wakitofautiana umri kwa tofauti ya wiki 2 hadi 4.
💥Ikitokea ujauzito wa kwanza na wa pili ulitungwa kwa mbegu za wanaume wawili tofauti, watoto wanaokua tumboni huwa wa baba tofauti.

Madhara yake ni nini?
👉Mtoto mkubwa anapokomaa, uchungu huanza na watoto wote hulazimika kuzaliwa kwa wakati mmoja
👉Hali hii haifahamiki sana hata kwa wataalam wa afya walio wengi, kinachoonekana ni kwamba mama hujifungua mapacha watoto wawili ambao mmoja ametimia na mwingine ni njiti(hajatimia miezi 9)
👉Wataalam wa afya wanaojua hali hii na hasa k**a imegundulika mapema wanaweza kupunguza madhara ya kuzaa mtoto njiti kwa kusubiri mtoto mdogo akue zaidi na kuzaliwa katika umri atakaokua bila matatizo mengi.

tunakusogezea mada za afya za kipekee naxkukupa ushauri kuhusu matatizo mbalimbali ya kiafya, Karibu namba yetu 0752354147 kwa ajili ya ushauri .

Want your business to be the top-listed Engineering Company in Mwanza?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Mwanza