Centerofpaymenttzz
✍️KUNA MWANAMKE HAONI PERIOD HATA MIEZI 3.
✍️NA HAJALI WALA NINI.🙌
✍️ UTAKUJA KUJITIBIA UVIMBE KWENYE KIZAZI 🤔
Moja Ya Sababu Zinazopelekea Mwanamke Kukosa period/ hedhi au Kupata Hedhi Isiyoeleweka ni
📍Hormone Imbalance: hormone zikivurugika husababisha madhara haya.
👉 Uke Kuwa mkavu sana
👉 Husababisha tatizo la Miscarriage / mimba kuharibika mara kwa mara.
👉 Kutoshika ujauzito
👉 Tarehe za period kubadilika badilika
👉 Kukosa ute wa ovulation
👉 Kupata hedhi zaidi ya mara moja kwa mwezi.
👉 Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa
👉 Husababisha maumivu makali wakati wa hedhi.
👉 Kupata hedhi kidogo sana au nyingi sana
👉 Kutokwa maziwa wakati haunyonyeshi.
👉 Kupitiliza hedhi zaidi mwezi.
📍 Kukosa Hisia Kabisa Ya Tendo La Ndoa Yaani Kukosa Raha Au Utamu Wa Penzi Unafanya Ilimladi Tu Kuridhisha Mume Wako.
Wengi Wanaoupuuza Tezi Dume Mpaka Inakuwa Kubwa
Alianza kuona dalili ndogo ndogo… kukojoa mara nyingi usiku.Alidhani ni kawaida tu.
Miezi ilivyoenda, kukojoa kukaanza kuwa kwa shida. Wakati mwingine alikaa muda mrefu chooni akisubiri mkojo utoke.
Marafiki zake walimwambia aende hospitali, lakini alijipa moyo akisema:“Bado sio mbaya sana… itaisha yenyewe.”
Kadiri muda ulivyopita hali ikawa mbaya zaidi. Maumivu yakaanza kuongezeka na mwili ukabadilika.
Siku moja aligundua kitu kingine kinachomshtua… alishindwa kabisa kufanya tendo la ndoa k**a zamani. Hapo ndipo alipoanza kupata hofu kubwa.
Alipoenda hospitali ndipo daktari alimwambia ana tatizo la kuvimba kwa tezi dume linalojulikana k**a Benign Prostatic Hyperplasia.
Daktari alimwambia ukweli mgumu:“K**a ungekuja mapema, dawa zingesaidia kudhibiti hali yako. Lakini kwa sasa tezi dume imekuwa kubwa sana.”
Hatimaye ilibidi afanyiwe upasuaji ili kupunguza tatizo.
Ndipo alipojuta sana kwa nini alipuuza dalili za mwanzo.
Ukweli ni kwamba wanaume wengi hupuuza dalili za tezi dume mapema mpaka tatizo linakuwa kubwa zaidi.
Dalili za kuangalia ni k**a:• Kukojoa mara nyingi hasa usiku• Mkojo kutoka kwa shida• Maumivu wakati wa kukojoa• Kujisikia kibofu hakijaisha mkojo
Usipuuze dalili hizi.Afya yako ni muhimu kuliko kuchelewa kutafuta msaada.
Share ujumbe huu ili wanaume wengi wajifunze kabla haijawa too late.
゚viralシfypシ゚
Fanya haya kuweka maumbile yako sawa
17/07/2023
Morning wapambanaji
Je huyu niwewe..unaitaji bidhaa Kwa ajili yabiashara yako kutoka kariakoo?
Vaitu vya jumla
Rasta
Madela
Vifaa vya umeme
Vifaa vya boda boda/bajaji
Dagaa wakukaanga kutoka Mwanza
Bonyeza link kujiunga
https://chat.whatsapp.com/EtomRtIiYV52rUuUmlfDiT
Tupo kwa ajili yakukurahisishia upatikanaji wa mzigo wabiashara yako....
Lakini unaweza kupost bidhaa zako katika platform yetu hii kwa kuongeza wateja
Bonyeza website hii jisajiri na uingize bidhaa zako
http://Nyumbanidigitalstore.co.tz
WSE tupo kwa ajili ya mfanyabiashara
WOMEN SUPPORT ENTERPRENEURS(WSE) WhatsApp Group Invite
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Address
Uhuru Street
Mwanza
11