Maswa Digital Network

Maswa Digital Network

Share

26/05/2022

TENGENEZA PESA NA idea debater 2022๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
https://m.ideadebater.com/mobile/ #/shareRegister?userId=HysA4rGA

IDEA DEBATOR INVESTMENT

๐Ÿ‘‰Idea debater Ni platform iliyoanzishwa mwaka 2016 marekani ๐Ÿ‡ฑ๐Ÿ‡ท na Tanzania๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ imeingiaa hivi Karibuni.

๐Ÿ‘‰ Kuna makampuni K**a

Amazon,eBay,shopee na Lazada yanayofanya biashara za bidhaa mbalimbali na hata kutangaza mitandaoni.

๐Ÿ‘‰Unapataje kipato na kwanini uwekeze pesa yako kwenye hii platform?

Unawekeza pesa yako katika hizo kampuni K**a uhisani halafu unapewa gawio(interest) kutokana na kiasi ulichowekeza

Pia Kutokana na Level

MFANO

UKIWEKA :
๐Ÿ’ฐ10000 Tsh unapata 500 Tsh Kila siku
๐Ÿ’ฐ 20000 Tsh unapata 1000 Tsh KILA siku

๐Ÿ’ฐ30000 Tsh unapata 1500 Tsh KILA siku

๐Ÿ’ฐ40000 Tsh unapata 2000 Tsh Kila siku

๐Ÿ’ฐ50000 Tsh unapata 2500 Tsh Kila siku

๐Ÿ’ฐ60000 Tsh unapata 3000 Tsh KILA siku

๐Ÿ’ฐ70000 Tsh unapata 3500 Tsh Kila siku

๐Ÿ’ฐ80000 Tsh unapata 4000 KILA siku

๐Ÿ’ฐ90000 Tsh unapata 4500 Tsh KILA siku

๐Ÿ’ฐ100000 Tsh unapata 5000 Tsh Kila siku

21/03/2021

Dar es Salaam. Marais zaidi ya 10 wa mataifa mbalimbali duniani wamethibitisha kuhudhuria shughuli ya kumuaga aliyekuwa Rais wa Tanzania, John Magufuli itakayofanyika kesho Dodoma.

Msemaji Mkuu wa Serikali, Dk Hassan Abasi amesema leo Machi 21, 2021 kuwa hadi sasa ana orodha ya zaidi ya marais 10 na kuahidi kuweka wazi majina na nchi zao mchana wa leo.

Magufuli alifariki dunia Machi 17 kutokana na maradhi ya moyo.

Rais huyu wa awamu ya tano anatarajiwa kuzikwa Machi 26 nyumbani kwao Chato mkoani Geita.

21/03/2021

MSANII mkongwe wa muziki wa dansi nchini Nguza Viking โ€˜Babu Seyaโ€™ amesema mshtuko mkubwa aliopata kufuatia kifo cha Rais wa awamu ya tano John Magufuli pengine watu wangesikia na yeye amefariki.

Babu Seya ni miongoni mwa wafungwa waliookolewa na Magufuli kutoka kwenye kifungo cha maisha jela na mtoto wake Papii Kocha na kuachwa kuwa huru Desemba mwaka 2017.

Akizunguza Dar es Salaam jana, nyota huyo alisema โ€œbaada ya mtoto wangu kunipigia simu kunipa taarifa za msiba wa Rais Magufuli nilipata mshtuko mngenisikia na mimi nimeondoka.โ€

Alisema taarifa hizo zilisababisha yeye kukosa usingizi akitafakari matendo mema aliyomfanyia rais huyo enzi za uhai wake.

Nyota huyo aliwahimiza watanzania kutoogopa juu ya kilichotokea akiamini bado kiongozi yupo nao kiroho.

Magufuli alifariki dunia Jumatano ya wiki hii kutokana na tatizo la moyo.

Want your business to be the top-listed Media Company in Mwanza?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Website

Address


Mwanza