Maguge Tv

Maguge Tv

Share

25/07/2022

Mbele ya Waandishi wa Habari Haji Manara toka afungiwe kujihusisha na soka kwa miaka miwili na kupigwa faini ya milioni 20 amefunguka baadhi ni haya yafuatayo👇

“Tulitangulia kufungwa na nilikuwa nimekaa eneo la Wageni Half Time mara nyingi mechi siangalii dakika tisini tena zile ambazo tumetangulia kufungwa ndio kabisa presha inakuwa juu"

"Half Time nikashuka jukwaani RC wa Arusha Mongella akaniita Haji njoo, hatujamaliza hata dakika moja ghafla bila kutarajia wala sikujua imetokea wapi mbele ya Viongozi, Rais wa TFF kwa ukali kabisa na kwa makelele mengi akawa ananifuata 'Wewe toka hapo, ondoka hapo wewe'”

“Nilikua naondoka na RC wa Arusha, wakati ananinyooshea kidole na kunipigia kelele huku anawaangalia Viongozi wa Coastal Union wamuangalie anachonifanyia, nikamwambia nimefanya nini? baadaye akasema hujui hapa kafa Mtu"

“kwa hiyo basi, Kutokana na ukiukwaji wa haki bila ya kanuni kusajiliwa na BMT tumepeleka malalamiko yetu, lakini tumeomba mara tatu nakala ya hukumu lakini hawataki kutupa nakala za hukumu wanaogopa ili sisi tusikate rufaa na mimi sijapewa namimi nitaendelea kuwa msemaji wa Yanga mpaka nipate nakala ya hukumu” Msemaji wa Yanga - Haji Manara

24/07/2022

"Hebu twambieni ukweli Manyonyo, Jana mmecheza na Team Gani? Al Hodood au Abuu Hamadi? Mbona mnatuchangaya kwa uongo wenu?

Semaji la TADEA ahh tholi la CUF linasema mmecheza na Abuu Hamadi, Club inasema mmecheza na Al Hadood, mnaongopa Kwa faida ipi?

Mimi nafahamu Abuu Hamadi ni Jumuiya ya Wakata Kachumbari kwenye Sherehe nchini Misri, Wao kazi yao kukiwa na harusi na kuna Pilau huitwa Kwa ajili ya kukata Kachumbari.

Kundi hili maarufu hukodiwa hadi Morocco na nchi nyingine za kiarabu, Sasa sijui lini wameanza kucheza Mpira?

Nyieeee, Yaan waache Mikachumbari wahangaike na Soka?

Sasa twambieni ukweli Makolo, Mmecheza na Al Hodood au Abuu Hamadi ( Wakata Kachumbari) ?

Mkinuna natuma Bweni la Shule mliyofikia Ismailia.

Nb::Tumeomba Mechi na Manyonyo Siku ya Mwananchi tarehe 6/8/2022, Wakikubali Niiteni Nyau 🤪🤪

Byuti Byuti 🤪🤪🤪 "--Haji Manara✍

24/07/2022

Taarifa Ya Serikali Kwa Wafanyakazi.

Want your business to be the top-listed Media Company in Mwanza?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Address


Bugarika Pamba Nyamagana Mwanza
Mwanza
BUGARIKA,33214