SAMSO

SAMSO

Share

18/09/2023

Si kila anayekula chakula kichafu au jalalani amethibitika kuwa na
ugonjwa wa akili. Hata hivyo tafiti zinaonyesha wapo baadhi ya watu
wanaokabiliwa na dalili za ugonjwa wa akili wanaokosa usaidizi
wa kifamilia au kijamii na kutelekezwa hali inayoweza kusababisha
kukosa huduma za msingi k**a chakula, malazi na mavazi pamoja na huduma za afya hivyo mazingira yao huwa ya vyakula visivyofaa au jalalani.

Fuatilia ukurasa wetu kujifunza zaidi kuhusu afya ya akili.

Want your practice to be the top-listed Clinic in Moshi?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Website

Address


Moshi

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00