tzyaleo.blogspot.com
tzyaleo ni page ambayo imetengenezwa kwa ajil ya wewe kushare matukio mbali mbali yanayotokea katika jamii zetu,share nasi tukio lolote linalotokea ili tuwajuze na wengine!
02/09/2016
Wagabon wanaoishi Ufaransa waandamana kupinga matokeo ya uchaguzi
Raia wa Gabon wanaoishi nchini Ufaransa wameandamana
kupinga matokeo ya uchaguzi wa Rais nchini kwao yaliyomrejesha tena madarakani Rais Ali Bongo.
Waandamanaji hao waliokuwa wamebeba mabango na maberamu walipiga nara za kulaani kile walichokitaja kuwa wizi wa kura uliomrejesha madarakani Ali Bongo na kusisitiza kwamba, uchaguzi huo haukuwa halali.
20/06/2015
Habari kutoka India,mtoto huyo(kwenye picha)Kazaliwa akiwa tayari kashazeeka,umbo lake ni la mtoto mchanga lakini ngozi na mwili wake wote ni k**a mzee wa miaka themanini!Ukistajabu ya M***a ...........
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Uyole
Mbeya
255