Baraka Fm Radio

Baraka Fm Radio

Share

Karibu katika ukurasa wetu wa habari na Burudani BARAKAFM MBEYA tupo tayari kukupa habari muda wotee usiache kusikiliza barakafm 107.7Mhz popote ulipoo pia Bonyeza Link hapo kutufuatili online

Mwenyekiti kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi Mchungaji Paul Mwambalaswa(kulia) leo amewaongoza waombolezaji katika ibada ya mazishi ya mtumishi wa taasisi za kanisa @barakamediatz Kelvin Lameck aliyefariki October 29.10.2025.Kushoto ni Katibu Mkuu KMT -JKM mchungaji Nsevilwe Msyaliha na katika ni mchungaji wa ushirika wa Nzovwe Jonam Msangawale 

Mazishi yamefanyika katika makaburi ya Iwambi jijini Mbeya. 06/11/2025

Mwenyekiti kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi Mchungaji Paul Mwambalaswa(kulia) leo amewaongoza waombolezaji katika ibada ya mazishi ya mtumishi wa taasisi za kanisa aliyefariki October 29.10.2025.Kushoto ni Katibu Mkuu KMT -JKM mchungaji Nsevilwe Msyaliha na katika ni mchungaji wa ushirika wa Nzovwe Jonam Msangawale

Mazishi yamefanyika katika makaburi ya Iwambi jijini Mbeya.
https://www.instagram.com/p/DQuftD6jQPu/?igsh=MXc0ZnBkOHFocnNlcQ==

Mwenyekiti kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi Mchungaji Paul Mwambalaswa(kulia) leo amewaongoza waombolezaji katika ibada ya mazishi ya mtumishi wa taasisi za kanisa @barakamediatz Kelvin Lameck aliyefariki October 29.10.2025.Kushoto ni Katibu Mkuu KMT -JKM mchungaji Nsevilwe Msyaliha na katika ni mchungaji wa ushirika wa Nzovwe Jonam Msangawale Mazishi yamefanyika katika makaburi ya Iwambi jijini Mbeya.

Baraka FM - Sauti ya Matumaini na Ukombozi 12/10/2025

MATUKIO:12.10.2025.

‎Idara ya Kwaya kuu ya kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi katika ushirika wa Itili.

‎Ibada hii inaongozwa na mlezi wa idara hiyo ambaye ni Makamu mwenyekiti KMT-JKM mch.Asulumenie D.E.Mwahalende.

‎Tuko live Baraka fm radio 107.7mhz

‎Na Online yetu ya https://radiotadio.co.tz/barakafm/
https://www.instagram.com/p/DPtChb_De_7/?igsh=MTR1MGI1eHZqOGJyZA==

Baraka FM - Sauti ya Matumaini na Ukombozi Sauti ya Matumaini na Ukombozi

11/10/2025

https://www.youtube.com/live/nq_4_Q2I9bo?si=veBxMMAhQPmWziNB

Endelea kuwa nasi katika matangazo ya live mkutano wa vijana kati kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi.

Ratiba ya sasa ni tamasha la uimbaji.

Want your business to be the top-listed Media Company in Mbeya?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Kadege
Mbeya