Baraka Fm Radio
Karibu katika ukurasa wetu wa habari na Burudani BARAKAFM MBEYA tupo tayari kukupa habari muda wotee usiache kusikiliza barakafm 107.7Mhz popote ulipoo pia Bonyeza Link hapo kutufuatili online
06/11/2025
Mwenyekiti kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi Mchungaji Paul Mwambalaswa(kulia) leo amewaongoza waombolezaji katika ibada ya mazishi ya mtumishi wa taasisi za kanisa aliyefariki October 29.10.2025.Kushoto ni Katibu Mkuu KMT -JKM mchungaji Nsevilwe Msyaliha na katika ni mchungaji wa ushirika wa Nzovwe Jonam Msangawale
Mazishi yamefanyika katika makaburi ya Iwambi jijini Mbeya.
https://www.instagram.com/p/DQuftD6jQPu/?igsh=MXc0ZnBkOHFocnNlcQ==
12/10/2025
MATUKIO:12.10.2025.
Idara ya Kwaya kuu ya kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi katika ushirika wa Itili.
Ibada hii inaongozwa na mlezi wa idara hiyo ambaye ni Makamu mwenyekiti KMT-JKM mch.Asulumenie D.E.Mwahalende.
Tuko live Baraka fm radio 107.7mhz
Na Online yetu ya https://radiotadio.co.tz/barakafm/
https://www.instagram.com/p/DPtChb_De_7/?igsh=MTR1MGI1eHZqOGJyZA==
Baraka FM - Sauti ya Matumaini na Ukombozi Sauti ya Matumaini na Ukombozi
https://www.youtube.com/live/nq_4_Q2I9bo?si=veBxMMAhQPmWziNB
Endelea kuwa nasi katika matangazo ya live mkutano wa vijana kati kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi.
Ratiba ya sasa ni tamasha la uimbaji.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Kadege
Mbeya
06/11/2025