Odier computer society

Odier computer society

Share

13/11/2016

. Generation & Description
1

First Generation

The period of first generation: 1946-1959. Vacuum tube based.
2

Second Generation

The period of second generation: 1959-1965. Transistor based.
3

Third Generation

The period of third generation: 1965-1971. Integrated Circuit based.
4

Fourth Generation

The period of fourth generation: 1971-1980. VLSI microprocessor based.
5

Fifth Generation

The period of fifth generation: 1980-onwards. ULSI microprocessor based

Photos 05/11/2016

Programmer

05/10/2015

Aliko Dangote Aliko Dangote GCON (born 10 April 1957) is a Nigerian billionaire and owner of the Dangote Group, which has interests in commodities. The company operates in Nigeria and other African countries, including Benin, Ethiopia, Senegal, Cameroon, Ghana, South Africa, Togo, Tanzania, and Zambia. As of February 2017, he had an estimated net worth of US$12.5 billion.

27/07/2015

“Watanzania wanataka mabadiliko, wasipoyapata ndani ya CCM watayatafuta nje” >>>> Hii ni moja ya sentensi ambazo Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli, Edward Ngoyai Lowassa aliziongea Arusha May 30 2015 alipotangaza nia ya Kugombea Urais kupitia CCM.

CCM ilikuwa na Wagombea zaidi ya 40 ambao walitangaza nia na kuchukua fomu za Kugombea Urais 2015 lakini baadae Chama hicho kikampitisha Dk. John Pombe Magufuli kugombea nafasi hiyo, baada ya hapo kukawa na headlines nyingi sana kuhusu ishu ya Edward Lowassa na UKAWA.

Viongozi wa Umoja wa UKAWA wamekutana Dar na mmoja wa Viongozi hao, James Mbatia amesema wamekubaliana kumkaribisha Mbunge Edward Lowassa ndani ya UKAWA na wako tayari kumpa nafasi na kushirikiana nae.

‘UKAWA tunahitaji viongozi wenye sifa, uwezo na weledi katika kulinda kuheshimu na kusimamia rasilimali za Taifa… Tunamwalika Edward Lowassa ajiunge na UKAWA na tuko tayari kushirikiana nae kuhakikisha tunaing’oa CCM madarakani kwenye Uchaguzi Mkuu ujao.. Tunaamini ana uwezo wa kuhamasisha umma kuikataa CCM na udhalimu wake‘ >>>> James Mbatia.

Zimeandikwa stori nyingi kuhusu Mbunge huyo kujiunga CHADEMA, kingine kilichoibua maswali mengi ni ishu ya UKAWA kuchelewesha kumtaja Mgombea wao wa Urais… hapa ziko picha mbili zilizoenea Mitandaoni zikimwonesha Mbunge Edward Lowassa pamoja na Viongozi wa UKAWA, kuna chochote kinafuatia?

Want your business to be the top-listed Computer & Electronics Service in Mbeya?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Website

Address


1865
Mbeya