MUST FM Radio - Mbeya
21/02/2024
Unadhani ni lazima mtoto kuwasaidia wazazi wake kila kitu mara baada ya kusomesha?
Live kupitia Live Ladha ya leo ya 104.5 Must Fm.
08/03/2023
"Wanawake ni CHACHU ya mabadiliko"
Ujumbe kutoka kwa Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST), Utawala, Fedha na Mipango Dr. John P. John katika Kusherehekea Siku ya Wanawake Duniani Mwaka 2023.
Dr. John pamoja na kuwapongeza Wafanyakazi Wanawake wa MUST, amewahimiza kuendelea kufanya kazi kwa juhudi na maarifa katika kulitumikia TAIFA lao.
Want your business to be the top-listed Media Company in Mbeya?
Click here to claim your Sponsored Listing.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Box 131
Mbeya
06/05/2022