MUST FM Radio - Mbeya

MUST FM Radio - Mbeya

Share

21/02/2024

Unadhani ni lazima mtoto kuwasaidia wazazi wake kila kitu mara baada ya kusomesha?

Live kupitia Live Ladha ya leo ya 104.5 Must Fm.

08/03/2023

"Wanawake ni CHACHU ya mabadiliko"
Ujumbe kutoka kwa Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST), Utawala, Fedha na Mipango Dr. John P. John katika Kusherehekea Siku ya Wanawake Duniani Mwaka 2023.

Dr. John pamoja na kuwapongeza Wafanyakazi Wanawake wa MUST, amewahimiza kuendelea kufanya kazi kwa juhudi na maarifa katika kulitumikia TAIFA lao.

Want your business to be the top-listed Media Company in Mbeya?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Address


Box 131
Mbeya