LISHE NA AFYA

LISHE NA AFYA

Share

23/10/2024

*🌹Haya Ndo Madhara 8 Ya Kukaa Na Uvimbe Kwenye Kizazi......*

Uvimbe una Madhara makubwa sana ukiwa nao katika kizazi

Wengi wao Huwa hawatambui Madhara yake mpaka watakapokuwa wamegundulika kuwa na Uvimbe ...
.haya ni Moja ya Madhara ya Uvimbe 👇

▶️Kuishiwa ama kupungukiwa na damu

Mara nyingi watu wenye Uvimbe kuanzia 4cm na kuendelea hukumbwa na changamoto ya kupungukiwa kwa damu ..
...kwanini ?

Uvimbe unatabia ya kufyonza damu na kuiachia na kukufanya utokwe na damu nyingi sana wakati wa period yako

▶️Kushindwa kupata Ujauzito

Wanawake wengi hushindwa kushika mimba kutokana na Uvimbe Kwenye Kizazi

▶️Kupata maumivu makali sana wakati wa period

▶️ Ikitokea umepata mimba wengi hupata mimba nje ya mfuko wa uzazi ( ectopic pregnancy)

▶️Kutokwa na damu wakati wa tendo la ndoa

▶️ Kubleed mabonge, mfululizo na wakati mwingine damu nyeusi

▶️Unaweza kupelekea kupata saratani ya Kizazi na kutolewa Kizazi chako

▶️Huweza kupelekea Kifo endapo Uvimbe itajikita kwenye mshipa mkubwa wa damu

0764047915

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Mbeya?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Mbeya
Mbeya