Cute
08/10/2025
Mwanaume zingatia kanuni hizi
1. Usiombe wala kulilia ngono
2. Ukituma SMS moja isipojibiwa na yuko online usitume nyingine kumuuliza kwa nini hajibu
3. Usivumilie aina yoyote ya kuvunjiwa heshima. Usikae usipoheshimika wala kuthaminika
4. Jiandae na kuwa tayari kuondoka kwake pale inapobidi
5. Usimfanye huyo mwanamke kuwa kipaumbele chako
6. Jiwekee viwango (set standards)
Wanaume tunaelewana kule?
21/09/2025
Kocha Mkuu Fadlu Davids ameondoka rasmi kwenye klabu ya Simba baada ya ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Gaborone United. Mchezo huo ulikuwa wa mwisho kwake akiwa kwenye benchi la ufundi la Wekundu hao wa Msimbazi.
Baada ya mchezo huo, Davids hakusafiri na kikosi kurejea nchini Tanzania, bali alielekea Johannesburg kuanza ukurasa mpya wa maisha yake ya kikazi.
Kocha huyo ameondoka pamoja na wasaidizi wake wanne muhimu:
โฝ Msaidizi wake wa kwanza
๐งค Kocha wa magolikipa
๐ Mchambuzi wa takwimu
๐ช Mtaalamu wa mazoezi ya mwili
Kwa sasa, majukumu ya kuongoza timu yamekabidhiwa kwa Matola na Riedoh Berdien, ambao watalisimamia benchi kuelekea mchezo wao wa Ligi kuu soka Tanzania Bara dhidi ya Fountain Gate FC.
๐ Unadhani hatua hii italeta mabadiliko gani kwenye safari ya wekundu wa Msimbazi?
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Culinary Team
Attire
Website
Address
Mbeya