MWL TITUS SWEBE
Hii nimeipenda πππ
09/02/2025
WEWE UNAEMTUMAINIA BWANA
Tena ulikuwa na subira na kuvumilia kwa ajili ya jina BWANA, wala hukuchoka.Lakini nina neno juu yako, ya kwamba umeuacha upendo wako wa kwanza.Basi, kumbuka ni wapi ulikoanguka; ukatubu, ukayafanye matendo ya kwanza. Lakini, usipofanya hivyo, BWANA aja kwako, naye atakiondoa kinara chako katika mahali pake, usipotubu.
Ufunuo 2:3-5
12/11/2024
βWala usimhukumu mtumishi wako, Maana kwako hakuna aliye hai mwenye haki.β
Zaburi 143:2
31/07/2024
Japokuwa nimechoka, AHADI ZA BWANA ZINANIHUISHA TENAπ₯π₯
Kwa Nini unakata tamaa???
Ufunuo wa Yohana 16:15 Tazama, naja k**a mwivi. Heri akeshaye, na kuyatunza mavazi yake, asiende uchi hata watu wakaione aibu yake.β
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the place of worship
Website
Address
ILEMI
Mbeya
6318