Mbeya Zonal Referral Hospital
03/06/2026
Timu ya Wataalam wa Bohari ya Dawa (MSD) imetembelea Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya (MZRH), lengo likiwa ni kuimarisha ushirikiano wa kikazi na kuboresha mnyororo wa ugavi wa bidhaa za afya.
Ziara hiyo iliyoongozwa na David Rugamalila, imehusisha mazungumzo ya kina na Mkurugenzi Mtendaji wa hospitali hiyo, Dkt. Godlove Mbwanji yaliyolenga kuongeza ufanisi wa upatikanaji wa dawa na vifaa tiba kwa wakati, kutatua changamoto za ugavi, na kuhakikisha huduma bora za matibabu zinaendelea kutolewa kwa wananchi wa mkoa wa Mbeya na Nyanda za Juu Kusini.
Want your organization to be the top-listed Government Service in Mbeya?
Click here to claim your Sponsored Listing.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the organization
Website
Address
Hospital Street
Mbeya