SAMBAWIY TV

SAMBAWIY TV

Share

Habari yako karibu katika channel pendwa ya SAMBAWIY TV
Lengo ni kukufikishia habari burudani na elimu mbalimbali zinazohusu dini yetu na jamii yetu kwa ujumla
saport yako ni muhimu kwa kufatilia ku like kushare ku commnt na ku subscribe
ahsante karibu!!

14/07/2026

πŸ”΄ ISLAMIC NEWS | SAMBAWIY TV πŸ”΄

β€‹βš«βš«βš«βš«βš«βš«βš«βš«βš«βš«βš«βš«

​MABADILIKO YA UONGOZI: USHEKH WA MKOA WA DAR ES SALAAM

​Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limefanya mabadiliko katika uongozi wa kidini wa Mkoa wa Dar es Salaam:

​βšͺ KUTENGULIWA:

Aliyekuwa Shekh wa Mkoa wa Dar es Salaam, SHEKH WALID ALHAD OMAR, ametenguliwa rasmi nafasi yake.

β€‹πŸ”΄ KUTEULIWA:

SHEKH ABASI ameteuliwa rasmi kukaimu nafasi hiyo kuanzia sasa.

β€‹βš«βš«βš«βš«βš«βš«βš«βš«βš«βš«βš«βš«

β€‹βš« Endelea kufuatilia Sambawiy TV kwa habari za uhakika, uchambuzi, na undani wa mabadiliko haya mara tu yatakapowekwa wazi.

β€‹πŸ’¬ Nini maoni yako juu ya maamuzi haya? Tuandikie maoni yako hapa chini.

β€‹πŸ”΄ βšͺ ⚫

​ ShekhAlhad ShekhAbasi HabariZaKiislamu

Want your school to be the top-listed School/college in Kariakoo?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Kariakoo