Thinker Genius
03/05/2026
Watu wengi wanachanganya kazi na maisha binafsi.
Unaanza kuona boss k**a rafiki… kampuni k**a familia…
Lakini ukweli ni huu:
Biashara inaangalia faida, sio hisia zako.
Ukifanya kazi vizuri, wanakulipa.
Ukishindwa, wanakubadilisha.
Hakuna loyalty ya kweli k**a unavyodhani.
Ndio maana:
Usijisahau kwa ajili ya kazi.
Usitoe kila kitu mpaka ubaki bila kitu.
Fanya kazi yako kwa akili.
Lipwa unachostahili.
Linda muda wako, afya yako, na maisha yako binafsi.
Kazi ni sehemu ya maisha… sio maisha yako yote.
Want your school to be the top-listed School/college in Geita?
Click here to claim your Sponsored Listing.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the school
Telephone
Website
Address
Geita