AFYA kwanza

AFYA kwanza

Share

20/11/2022

UFAHAMU ZAIDI MMEA UNAOFAHAMIKA K**A NIGELLA SATIVA
Mmea huu unapatikana zaidi katika mabara ya Asia

NI mmea ambao umekua ukitumika Sana kwa miaka mingi K**a tiba

Mmea huu unauwezo wa kutatua matatizo mengi Sana katika mwili wa binadamu kutokana na Matumizi yake tofauti tofauti

Mafuta yake pamoja na unga wake vimekua na matokeo makubwa Sana hasa kwa watu wenye matatizo K**a
✓kisukari
✓pressure
✓ini
✓figo
✓bawasili
✓tezi dume
✓vidonda vya tumbo
✓nguvu za kiume
✓kushindwa kutungisha au kubeba ujauzito
✓mimba kuharibika .na mengineyo

MATUMIZI yake NI Mara moja au Mara mbili kwa siku kutokana na tatizo la mgonjwa.

Gharama yake chupa moja NI kiasi Cha shilingi 25,000/=

Kwa ushauri zaidi wasiliana na daktari
📞0717547978

01/11/2022

PID(pelvic inflimatory desease)
PID NI ugonjwa unaowashambulia Akina mama(wanawake).unaoshambulia via vya UZAZI vya mwanamke K**a Mirija ya uzazi(fallopian tubes) au shingo ya KIZAZI(cervix)
asilimia 90 ya wanawake wanaopatwa ugonjwa huu tayari wanakua wameshavunja ungo.
Mwanamke anaweza hisi shida K**a maumivu CHINI ya kitovu,maumivu ya mgongo na kiuno,hedhi isiyo na mpangilio,kutoka uchafu sehemu za Siri wenye harufu Kali,kukosa hamu ya tendo,kupata MAUMIVU wakati wa tendo,mimba kuharibika,kushindwa kupata ujauzito,kua na uke mkavu nk
Anaweza kua ukipuuza lakini matokeo hayo yanahashiria kua mfuko wa kizazi unamatatizo na hayo ndio matokeo yake

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dodoma?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Majengo Sokoni
Dodoma