Nactvet
11/06/2023
with .repost
・・・
WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA VYUO VYA KATI
Wanafunzi 58,298 wakiwemo wasichana 18,166 na wavulana 40,132 sawa na asilimia 31 wamepangiwa kujiunga kwenye kozi mbalimbali za stashahada katika vyuo vya kati vinavyosimamiwa na Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTVET).
Wanafunzi 1,645 wakiwemo wasichana 646 na wavulana 999 wamechaguliwa kujiunga na vyuo vya Ualimu ngazi ya Stashahada ya Sayansi, Hesabu na TEHAMA
Wanafunzi 1,877 wakiwemo wasichana 757 na wavulana 1,120 wamechaguliwa kujiunga na fani mbalimbali katika vyuo 04 vya Elimu ya Ufundi ambavyo ni Chuo cha Ufundi Arusha (ATC), Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT), Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST) na Chuo cha Usimamizi na Maendeleo ya Maji (WDMI).
Wanafunzi 1,842 wakiwemo wasichana 943 na wavulana 899 wamechaguliwa kujiunga na Vyuo vya Afya ngazi ya Stashahada.
Wanafunzi 52,934 wakiwemo wasichana 15,820 na wavulana 37,114 wamechaguliwa kujiunga kwenye kozi mbalimbali zikiwemo za Kilimo, Ufugaji, Utawala, Biashara na zinginezo za Stashahada katika vyuo vya kati mbalimbali nchini.
Tujikumbushe maonesho yetu
10/06/2023
Mafunzo yanaendelea…
11/05/2023
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
17007 Mwangosi Road
Dodoma
41110