Uvccmlscobe
02/06/2025
PICHA: Vijana makini wa UVCCM katika MKUTANO MKUU WA CCM uliofanyika 29-30/05/2025
22/05/2025
MAFANIKIO YA SERIKALI YA AWAMU YA SITA KATIKA SEKTA YA UTALII
24/04/2025
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI ✅🔰✅🔰✅🔰
NI IMANI YANGU UJUMBE HUU UNAWAKUTA NYOTE MKIWA VEMA,
Kamati ya Uratibu CoBE & SoL- UDOM inawatangazia wanachama wote kuanzia wapya waliojisajili kielektroniki na kupokea jumbe za kuchkua kadi, pia wale walio na changamoto ya taarifa na muhimu pia wale ambao hawakuweza kujisajili hapo awali.
SIKU YA JUMAAMOSI TAREHE 26 APRILI 2025 SAA SABA MCHANA tutatembelewa na Afisa Tehama kwaajili ya wanachama KUCHKUA KADI, KUREKEBISHA TAARIFA na KUJISAJILI tutakutana BP CAFE kwa ajili yakwenda kufanya mazoezi ainishwa hapo kwa umoja wetu.
MWAMBIE MWENZIO AMWAMBIE MWENZIE,
Mara baada ya siku hiyo hakutakua na zoezi linalofanana na hilo tena. TUZINGATIE HILO.
FADHILI AB,
KATIBU CoBE &SoL - UDOM.
18/04/2025
HERI YA SIKU YA KUZALIWA COMRADE RUTH STEPHEN MAKENE (MJUMBE KAMATI YA URATIBU TAWI LA UVCCM COBE & SOL - UDOM).
TAWI la UMOJA wa VIJANA wa chama Cha mapinduzi linatambua mchango wako juu ya kukijenga,kukilinda na kukiimalisha chama ndani na nje ya chuo kikuu Cha dodoma,Na sisi tunaungana nawe kwenye siku hii adhimu yenye mfano wa siku yako ya kuzaliwa mungu akupe maisha marefu na yenye baraka kiongozi wetu.
Imetolewa na katibu hamasa TAWI la cobe and sol -UDOM
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the organization
Website
Address
Ntyuka
Dodoma
41100
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 18:00 |
| Tuesday | 09:00 - 18:00 |
| Wednesday | 09:00 - 18:00 |
| Thursday | 09:00 - 18:00 |
| Friday | 09:00 - 18:00 |