Uvccmlscobe

Uvccmlscobe

Share

Photos from Uvccmlscobe's post 02/06/2025

PICHA: Vijana makini wa UVCCM katika MKUTANO MKUU WA CCM uliofanyika 29-30/05/2025

22/05/2025

MAFANIKIO YA SERIKALI YA AWAMU YA SITA KATIKA SEKTA YA UTALII

24/04/2025

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI ✅🔰✅🔰✅🔰
NI IMANI YANGU UJUMBE HUU UNAWAKUTA NYOTE MKIWA VEMA,
Kamati ya Uratibu CoBE & SoL- UDOM inawatangazia wanachama wote kuanzia wapya waliojisajili kielektroniki na kupokea jumbe za kuchkua kadi, pia wale walio na changamoto ya taarifa na muhimu pia wale ambao hawakuweza kujisajili hapo awali.

SIKU YA JUMAAMOSI TAREHE 26 APRILI 2025 SAA SABA MCHANA tutatembelewa na Afisa Tehama kwaajili ya wanachama KUCHKUA KADI, KUREKEBISHA TAARIFA na KUJISAJILI tutakutana BP CAFE kwa ajili yakwenda kufanya mazoezi ainishwa hapo kwa umoja wetu.

MWAMBIE MWENZIO AMWAMBIE MWENZIE,
Mara baada ya siku hiyo hakutakua na zoezi linalofanana na hilo tena. TUZINGATIE HILO.

FADHILI AB,
KATIBU CoBE &SoL - UDOM.

18/04/2025

HERI YA SIKU YA KUZALIWA COMRADE RUTH STEPHEN MAKENE (MJUMBE KAMATI YA URATIBU TAWI LA UVCCM COBE & SOL - UDOM).

TAWI la UMOJA wa VIJANA wa chama Cha mapinduzi linatambua mchango wako juu ya kukijenga,kukilinda na kukiimalisha chama ndani na nje ya chuo kikuu Cha dodoma,Na sisi tunaungana nawe kwenye siku hii adhimu yenye mfano wa siku yako ya kuzaliwa mungu akupe maisha marefu na yenye baraka kiongozi wetu.






Imetolewa na katibu hamasa TAWI la cobe and sol -UDOM

Want your organization to be the top-listed Government Service in Dodoma?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Address


Ntyuka
Dodoma
41100

Opening Hours

Monday 09:00 - 18:00
Tuesday 09:00 - 18:00
Wednesday 09:00 - 18:00
Thursday 09:00 - 18:00
Friday 09:00 - 18:00