Falah / Islamic / Development
14/05/2026
Alhamdulillah, tumefanikiwa kufanya kipindi chetu cha “Mafunzo kutoka ndoa ya Imam Ali (a) na Bibi Fatima (a)” kilichowasilishwa na Dr. Mohamed Shabbir Nathoo.
Katika kipindi hiki tulijifunza kuwa ndoa yenye mafanikio hujengwa juu ya msingi wa imani, upendo, heshima, subira na ushirikiano. Kupitia maisha ya Imam Ali ibn Abi Talib (a) na Fatima al-Zahra (a), tuliona mfano bora wa familia iliyojengwa kwa taqwa, uadilifu na kujali haki za kila mmoja.
12/03/2026
Want your place of worship to be the top-listed Place Of Worship in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the place of worship
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam