Christian Ntevi
ile pesa yako uliyoipata, kwa njia halali, najua unatenga mafungu, najua fungu la sadaka lipo, ushauri wangu: K**a ikatokea mambo yamekuwa magumu ukaanza kupunguza vitu, USIONDOE SADAKA,maana hiyo ndiyo chanzo cha hayo mengine (huitwa mbegu)
01/12/2025
Yeremia 23:30-32
30. Kwa hiyo, mimi Mwenyezi-Mungu nitawashambulia manabii ambao wanaibiana maneno yangu. 31. Kweli mimi Mwenyezi-Mungu nasema, nitawashambulia manabii wanaoropoka maneno yao wenyewe na kusema, ‘Mwenyezi-Mungu asema’. 32. Naam, mimi Mwenyezi-Mungu nasema kuwa nitawashambulia manabii wanaotabiri ndoto zao za uongo kwa watu wangu, na kuwapotosha kwa uongo wao na kuropoka kwao. Mimi sikuwatuma wala kuwaamuru waende; kwa hiyo hawatawafaa watu hao. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.”
Moja kati ya maajabu ya MANA ni kwamba ikiokotwa ijumaa ikaliwa na kusazwa, kilichosazwa hakikuchacha, ila siku zingine mfano jtano kilichacha
15/11/2025
Yeremia 9:2-3 Laiti ningekuwa na mahali pa kukaa jangwani, ambamo ningewaacha watu wangu na kwenda zangu.” Mwenyezi-Mungu asema: “Wote ni watu wazinzi, ni genge la watu wahaini. Hupinda maneno yao k**a pinde; wameimarika kwa uongo na si kwa haki. Huendelea kutoka uovu hata uovu, wala hawanitambui mimi. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the school
Website
Address
Arusha
0000