AFYA TIPS
🎯 Mtaalam wa matatizo ya mmeng’enyo.
🔥 Acid Reflux | Gesi Tumboni | Koo | Vidonda Tumbo | Bawasili*
🥗 Lishe bora kwa afya njema*
*📲 WhatsApp kwa ushauri: +255742211518*
Kiungulia cha mara kwa mara si jambo la kupuuza. Dalili ndogo leo zinaweza kugeuka kuwa tatizo kubwa kesho. Chukua hatua mapema, linda afya ya koo na mfumo wako wa chakula.
Muda wote unakuwa umechoka
Hii hali mara nyingi kwa watu wenye Acid huwa inawakuta sana
Changamoto huanzia kwenye misuli
Je hali hii inakukuta!?
Kwa mfano:
Kula mafuta mengi, vyakula vya kukaanga na soda kila siku kunaweza kuanza kuharibu tumbo, ini, moyo au kuongeza uzito polepole.
Kuruka milo, kula usiku sana au kula ovyo kunaweza kusababisha matatizo k**a acid reflux, vidonda vya tumbo, sukari au presha baadae.
Kutokula matunda, mboga na kunywa maji ya kutosha huathiri kinga ya mwili na mfumo wa mmeng’enyo wa chakula.
Vivyo hivyo, ukila vizuri leo:
Mwili hujijenga taratibu,
Kinga huimarika,
Ngozi, nguvu na afya ya ndani huboreka baada ya muda.
Kwa kifupi: “Matokeo ya ulaji si ya siku moja — mwili hukumbuka unavyoula kila siku, na baada ya miaka ndipo athari kubwa huonekana.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
Arusha
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Saturday | 09:00 - 17:00 |
| Sunday | 09:00 - 17:00 |