SOKA Updates
03/01/2026
EXCLUSIVE: Edwin Balua anaelekea Saudi Arabia πΈπ¦
Makubaliano yamefikiwa na masharti binafsi yamekubaliwa kikamilifu. β
Simba SC wamekubali ofa ya mkopo kutoka klabu ya Al-Entesar.
Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 22 anatarajiwa kusafiri kwenda Saudi Arabia Jumanne ili kukamilisha taratibu na kutambulishwa rasmi. Ukurasa mpya umefunguliwa kwa mmoja ya washambuliaji vijana wanaosisimua zaidi barani Afrika. πβ½
10/02/2025
MATOKEO β½
FT: JKT Tanzania 0-0 Yanga SC.
FT: KMC 2-0 Singida BS
10/11/2024
Big shout out to my newest top fans! π Jackson J. Luhweja
Drop a comment to welcome them to our community, fans
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Arusha
553