KKKT -DKAK
07/05/2024
Mkuu wa KKKT Dayosisi ya kaskazini Kati Askofu Dkt.Godson Abel Mollel akizungumza ofisini kwake yenye makao yake jijini Arusha mara baada ya kutembelewa na mkuu wa mkoa wa Arusha Paul makonda
Askofu Dkt Godson Mollel ameitaka serikali kusimamia haki na kurejesha haki iliyoporwa aidha aliongezea kwa kusema wajibu wa kiongozi yeyote katika jamii,katika serikali na kanisa ni kusimamia haki.
Want your school to be the top-listed School/college in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Indian Street
Arusha