Dr.Osward

Dr.Osward

Share

07/03/2022

MShIPA WA NGIRI

Ugonjwa hatari Sana hasa kwa wanaume ambao dalili zake ni KORODANI KUUMA ,MAUMIVU YA TUMBO CHINI YA KITOVU ,TUMBO KUUMA WAKATI WA BARIDI, KUHARISHA ,MAUMIVU YA KIFUA

Mshipa wa ngiri kwa mwanamme hupelekea kuonekana hawezi kumhudumia mwanamke vizuri .

Mshipa wa ngiri usipo tibika kwa wakati hupelekea kuoza kwa utumbo.

Chanzo cha mshipa wa ngiri ni ,uzito mkubwa katika mwili (kitambi)au mafuta mengi mwilini ,mazoezi mazito , udhaifu wa misuli ,kikohozi Cha muda mrefu ,choo kigumu ,msukumo mkubwa wa damu ,lishe duni .

Pengine umehangaika namna ya kupata tiba ya uhakika ,CNC hili tatizo tunalitibu vizuri Sana hadi kupona .

Wasiliana na daktari kupitia namba #0742300459

Au WhatsApp
#0742300459

Want your practice to be the top-listed Clinic in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Address


Oswardmohamer6@gmail. Com
Arusha