Msheshe Rashid
17/06/2023
Sasa. Makusudi akiwa kizimbani mahak**ani,alitetema sana ijapo alijipigia moyo konde kila dakika za muda. Alikuwa tayari kujitetea kwa hali na mali angaa apate kuunjoa uhuru wake kwa mara nyingine tena. Alisimama titsi akimsubiri jaji- mtu mwenye hatima yake afike.
Ubongoni mwake. Hapo kizimbani. Alijiona sawa na mangisi ijapokuwa hali zao zi tafauti sana. Walisubiria kifo ingawa mmoja wao ywafa kifo cha halali yake na mwengine ywakipokea kwa haki yake. Mmoja wao ndiye mhalifu na mwengine ni kitoweo tu.
Alijichukua kuwa kuku kwa sababu ya utawa wa shida ulioanza kumnogea utamu wa kuteseka huku jibu lake la kuijifanya msiri kati ya watu likitishia kumchubukia kwenye kipindi cha hukumu ya leo. Alikuwa kuku anayesubiri kuchinjwa kichikichi kwa hanjari ya chinjachinja! Hana bahati ya mtende.
Wingu la hisia za soni na simanzi lililovurugika,lilizidi kutambaa pale kortini pindi tu hakimu alipotia guu. Mimi,kina Chachania pamoja na wote wamjuaye Makusudi,tulktundika macho ya huruma tukisubiri kwa hofu na wahaka yatakayojiri kadamnasi yetu. Pasi na kujua la kutenda. Tungefanya nini jamani? Tumtetwe vipi rafiki na ndugu yetu? Dua tu...
"Leo hii,tulijua eti, uwongo wa sikio si ukweli wa macho! Ukweli huu ndio unaomchoma sana Makusudi. Aliyoyatenda,yalikuwa wazi kana kwamba ni doti jeusi tititi kwenye kitambaa cheupe pe cha Malkia." Haya basi.
Hakimu wa kuikata daawa hii alifaa kuwa Siti Kaliamti. Mkazi wa Kichakamkwanjuni karibu na mtaa wa Mapona Kaskazini.....
Kipi kilitokea?
Tuzidi kusoma.
Ahsanteni nyote kwa kunidhamini na kunisoma
10/10/2021
Tilte; I'M WRITING NOT.
Poem collection; SCARED AND SCORCHED
Poet; Msese wa kondeni.
I'M WRITING NOT..
Am not writing,
For ink isn't my sting,
Like a pollen bee with fairly wings,
Why should I write,
When shadows don't foresee,
Their intentions as the see,
Why must I write,
When perceptions prostate,
Far from any reality of state,
It's my silence that keeps haunting,
I'm writing not.
Silence is in me,
Is it part of life?
Or may I deqoute this way,
it's related to our sacrifices!''
''Fate and miss-fortunes''
''Deaths and destinies'',
An old mole knows the earth's tremors well,
And so I conjuorn.
I'm writing not.
In silence,
It's eleven thirty minutes ago,
Still,stiffy, staunched and staffed by the chair,
By my wooden table,
By my solo-contained house,
With a wreckage of ancient books,
Papers, letters and shredded articles,
Maybe torn apart to my frastrations
Unfortunately it's my dislikes,
Still looking for my piety,
To throw them away like trash,
To reseek and redeem their use,
Just there,
By myself,
And my lone friend,
In crystal silence.
The silence in me,
I'm re-thinking, re-setting,
Re-adusting to re-focus on no mirror,
I don't want shadows that haunt me by looks,
I'm bored to such extent.
All alone with my solace intent,
Still in silence,
Dusk,that was lurking,has fade into the night,
My sleep as well frozen like a piece of ice,
Visitors from my norm encircle me,
Feelings and emotions,senses and thoughts,
Quire is their trait,
Doubtlessness in character,
Of which today turn me an orator,
Of my own ink,
I write not.
The silence in me,
Is it not for foolishness?
The silent movements of a tiger,
Aiming and targeting, attentively,
Or is it a calculation for accuracy?
The silence in me,
Reflections of hidden voices,
Voices of dear choices,
Choices have degnity,
Or may I requote myself,
Silence is a true friend,
who never betrays,
I'm writing not.
© All Copyright preserved.
©®Msese wa kondeni.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Bahati
Nairobi
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |