NURU RADIO

NURU RADIO

Share

19/07/2024

JUMMA MUBARAK

19/07/2024

Big shout out to my newest top fans! Hanboy KE

15/07/2024

Bei ya mafuta ya Petroli kupungua kwa Ksh.1 kwa lita, Dizeli kwa Ksh.1.50 kwa lita, na Mafuta ya Taa kwa Ksh.1.30 kwa lita.

14/07/2024

Ndio!!! Chaguo la wengi 💪💪💪
NURU TEAM 💪💪💪💪

11/07/2024

Baraza la mawaziri lavunjiliwa mbali huku waziri mwenye mamlaka makuu Musalia Mudavadi akiponea shoka hilo.

10/07/2024

Thanks for being a top engager and making it on to my weekly engagement list! Hanboy KE, Martin KE, Zuma Bezuma

10/07/2024

Katika kipindi cha tunauliza....

Je unakubaliana na hatua zinazochukuliwa na vuguvugu la gen z kutafuta haki na uwazi uongozini???

Sema nasi studioni...

10/07/2024

*Assalaam Alaykum Warahmatullah Wabarakatuh*

Hadithi inatusisitiza kuisoma na kuifuata Quran ili tujinasibishe kuwa tu wa Allah.

Imepokelewa kutoka kwa Anas bin Maalik (رضي الله عنه) kwamba Rasuli wa Allaah (ﷺ) amesema:
*Allaah Anao watu wake kati ya wanaadam.* Wakamuuliza: Ee Rasuli wa Allaah ni nani hao? Akasema: *Hao ni watu wa Qur-aan na ni watu wa Allaah na wateule Wake* [Ahmad, Ibn Maajah]

Allah kwa rehma zake atuwezeshe kujifunza,kuisoma (kuisoma quran ni kujua ujumbe uliopo, tuisome tafsiri yake) na kutekeleza maamrisho yake

*Aamyn*

10/07/2024

Awamu ya tano ya upasuaji wa miili iliyofukuliwa eneo la Shakahola imeanza rasmi hii leo katika makafani ya hospitali kuu ya mji wa Malindi huku jumla ya miili 6 ikifanyiwa upasuaji.

Kulingana na mwanapatholojia mkuu wa serikali Johansen Oduor, miili hiyo ni kati ya 24 iliyofukuliwa katika awamu ya tano ya ufukuzi wa miili katika msitu wa Shakahola.

06/07/2024

Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Kevin Leshan, Mercy Cheptoo, Kenix Quizo, P Mixon Tyler

Want your business to be the top-listed Media Company in Mombasa?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Website

Address


Old Town
Mombasa