Alex Mati
Muuwo wa Ngai niwithiwe nenyu Aini ma Gospel
Oyu Hon. Dr. Stephen Kalonzo Musyoka (PRESIDENT 2027) niwe utonya kwosa utongoi wa nthi ino, Yu AKAMBA mbithukisyei nesa nitukwendeka kwithiwa na ngwatano ndumu nikana tumutetheesye kuokoa Akenya Kuma mokono mathuku🙏 kila mukenya ni asye
Nikyau aini makulanasya Indi , nzeg'aa muno nyie🤔
Metho ma yeova me kila vandu makisyaisya useo na uthuki ula weendee kuu mitandauni (Warning) ala muvuthya Ngai kanwai muno.
Alex Mati
Mungu anaweza kukusikia ukiwa katika hiyo Hali, Omba mungu bila kuchoka ,be strong like lion 💪
1 Ndipo Yona akamwomba Bwana, Mungu wake, katika tumbo la yule samaki,
Yona 2:1
2 Akasema, Nalimlilia Bwana kwa sababu ya shida yangu, Naye akaniitikia; Katika tumbo la kuzimu naliomba, Nawe ukasikia sauti yangu.
Yona 2:2
3 Maana ulinitupa vilindini, Ndani ya moyo wa bahari; Gharika ya maji ikanizunguka pande zote; Mawimbi yako yote na gharika zako zote zimepita juu yangu.
Yona 2:3
4 Nami nikasema, Nimetupwa mbali na macho yako; Lakini nitatazama tena kukabili hekalu lako takatifu.
Yona 2:4
5 Maji yalinizunguka, hata nafsini mwangu; Vilindi vilinizunguka; Mwani ulikizinga kichwa changu;
Yona 2:5
6 Nalishuka hata pande za chini za milima; Hiyo nchi na mapingo yake yalinifunga hata milele; Lakini umeipandisha nafsi yangu kutoka shimoni, Ee Bwana, Mungu wangu,
Yona 2:6
7 Roho yangu ilipozimia ndani yangu, Nalimkumbuka Bwana; Maombi yangu yakakuwasilia, Katika hekalu lako takatifu.
Yona 2:7
8 Watu waangaliao mambo ya ubatili na uongo Hujitenga na rehema zao wenyewe;
Yona 2:8
9 Lakini mimi nitakutolea sadaka kwa sauti ya shukrani; Nitaziondoa nadhiri zangu. Wokovu hutoka kwa Bwana.
Yona 2:9
10 Bwana akasema na yule samaki, naye akamtapika Yona pwani.
Yona 2:10
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
K***a Kindu
Kitui