Muhati

Muhati

Share

02/11/2025

Nilitoka kuwatch bol nikiwa na hasira sana Jana juu team yangu iliDraw na Nottingham😠😠...kufika Kwa mlango napata wife amejifungia Kwa nyumba then amezima light which means analalaπŸ™„πŸ™„πŸ€”..Nikabisha mlango na kumuita anifungulie but akaniambia eti ye amelala Mimi nirudi tu penye nimetokaπŸ₯²...nikamwambia afungue ama nijitupe Kwa kisima juu hata Niko na hasira Sana team yangu haijapata winβ˜ΉοΈπŸ™„but akaniambia eti"we jiue ukitaka"".....so nikatafuta kijiwe kikubwa pale inje then nikatupa Kwa kisima *Chubwi* kisha nikajificha pale nyuma ya nyumbaπŸ€£πŸ™Œ..wife kuskia hiyo sauti akashtuka akadhani nimejitupa Kwa kisima..akaniita Mike πŸ’”πŸ₯Ί... sikuitikaπŸ€£πŸ˜†..so akafikiri nikweli nimejitupa Kwa kisima akaamka haraka akafungua mlango then akakimbia pale Kwa kisima akiwa amevalia Tu p*nty na braπŸ€£πŸ€£πŸ™Œ...me nae nikaingia Kwa nyumba haraka then nikafunga mlango na ndaniπŸ˜†πŸ˜†....Mercy akakuja Kwa mlango akaniambia nifungue ama apige nduru😭..me nikamsho apige nduru watu wakuje awaambie ametoka wapi sahio na p*nty na brah TuπŸ˜‚πŸ˜‚.....so bado Kako hapo Kwa mlango kanalia polepole na baridi nataka niamke nikafungulie sasa🀣πŸ˜ͺπŸ’”.....na niliwaambia Tu mnipee advice before nioe wakuu,πŸ˜‚πŸ’πŸ’Ž
Anyways good morning πŸŒ„.. Follow πŸ‘‰ Ayeebaba LIVE TALK SHOW TV

01/11/2025

Nimekunywa kauji hii jioni🍡 ,hubby akaanza kuomba msamaha akanisho he is blocking Lucy na tutaishi kwa amani tena hatarudia makosa ka ileπŸ₯° .Akashika simu yake and I believed amemblock.πŸ’ƒ Akani join tukunywe uji ya mtama pamojahuku udaku imeshikaπŸ‘¨β€β€οΈβ€πŸ’‹β€πŸ‘¨ .After few hours tukaenda kwa nyumba ....kufika huko nikajifanya naumwa saana na mapua yenye Lucy alinipiga asubuhi πŸ˜­πŸ€• sitaweza kupanguza nyumba πŸ™„πŸ˜πŸ€­My man akapanguza,he prepared sapa and now on bed k*ssing πŸ’‹and cuddling πŸ’ƒπŸ’ƒ
Nikaona simu yake inaita kuangalia ni Lucy anapigaπŸ€³πŸ™„ nikashindwa ni aje huyu Mike alinisho alimblock nzegere ya mundu 🧟... FEAR MEN......Sikuwa nataka mambo so what I did nilichukua hiyo namba ya Lucy nika save kwa simu yangu 🀭 na tukalala (simu haikushikwa).
Nashangaa tu vee hubby ana manage kuchat na Lucy via whatsup and yet ameniweka profile yake ya what's up kwani what's going on πŸ™„
I'm coming up with an idea πŸ’ƒπŸ’ƒ Asubui nitamka nipike breakfast akule juu ameniambia atarudi kitu saa saba ako na shughuli zake hataenda church 😩 Akishaenda nitapigia Lucy nimwambie mimi ni dadake Mike. I want to know how long they've been dating, yu anaishi wapi na pia nataka tukutane hio kesho kwake πŸ™„πŸ§ŸπŸ§Ÿ

Lazima nimlipize kichapooo β˜ΉοΈπŸ€•πŸ˜­...
Part 3 itakuja kesho na evidence 🧾
Follow πŸ‘‰ Ayeebaba LIVE TALK SHOW TV

01/11/2025

Mnakumbuka Lucy my husband's sidechick? Can you imagine she texted my husband on Monday on WhatsApp ati she is pregnant for him.πŸ™„πŸ˜­ My husband didn't respond to her nikajijazia my Mike ameacha usherati and I was very happy😁
Kashetani kengine kakaniuliza ndani yangu,"Mercy uko sure Mike ameacha usherati?" πŸ™„ Then I was like, "...no not sure."Acha nimuweke kwa mtego.😭😭 Thursday nikaambia Mike naenda kwetu nitarudi next week Wednesday...my Mike akaniwishia safe journey hadi akanipeleka Bus station πŸ§‘β€πŸ€β€πŸ§‘πŸ‘¨β€β€οΈβ€πŸ’‹β€πŸ‘¨, find love guys πŸ˜‹πŸ₯°πŸ˜©... Sasa badala ya kurudi Wednesday nimerudi Leo hii morning nikafungua mlango pole pole coz sikuwa nimeambia my man ati narudi leo nimSurprise. Kufungua nimempata hubby akipika breakfast alishtuka but akanikaribisha vizuri na ka forehead kiss πŸ‘„πŸ’‹. Nikaenda straight kwa bedroom yetu.
On my surprise napata kumbe Mike aliita Lucy to my house...😭😭😭 Mara io nikarudi kitchen niulize babe what's up ghaii ☹️πŸ₯ΊπŸ’”,my man vanished immediately I got inπŸ˜­πŸ™„πŸ˜’
Mimi huyo na mwiko nikajiambia "leo ni Leo Lucy atanitambua" πŸ™„ mmmmh,kufika huko kwa room nikauliza Lucy,"what are you doing in my matrimonio bed?" 😏😠😑 nipeeni handkerchief 😀 Wacha Lucy anirukie , aliniwekelea slap nikaanguka chini,akanikalia kwa shingo,difff, akaniwekelea ngumi ya mapua nikaskia wiiiiiiii 😀😩😭 ikabidi niwekelee nduru😒 kumbe my hubby alikuwa kwa mlango akakuja kuniokoa woi woi 😭😭😭 na ivo ndo Lucy akatoroka.Beb amenifanyia fast aid na alikuwa anachekaπŸ˜‚πŸ’”πŸ™„ akanifunga lastopasss πŸ€•πŸ€• saa hio mapua imefuraa.Lucy popote ulipo, shetani akulambe matterco, how do you get into my bΓ©atiful marriage 😭🧟🧟

Follow πŸ‘‰ Ayeebaba LIVE TALK SHOW TV for more 😭

31/10/2025

Aki ndoa 😭 Mike my hubby alitoka kwa hii nyumba last month .. Akasema anaenda Tanzania so nisimpigie coz network huko ni mbaya mimi k**a good wife nilielewa,akasema kazi ni ya 2months so nivumilie atarudi 😊Mimi k**a Mercy nikaona now that hubby hayuko heri nitafute kitu ya kufanya atleast to keep me busy 😊
Nimetafuta job nikaangukia moja kwa reception fulani ...huku ni hoteli kuna rooms na pia ka bar ...mimi mostly niko reception ku receive wageni si mnaelewa 😊 So Leo House keeper hakukam alipiga simu ni mgonjwa.....manager akaniomba nisaidie pia kwa house keeping juu mwenye ako incharge ni mgonjwa ...Akaniambia kazi si mob coz kuna room moja tu ndio imekuwa na watu since last month πŸ™„ So ati hao uwa hawatoki watapiga simu wakitaka breakfast ama lunch then niwapelekeeπŸ’ƒπŸ’ƒ
Nimefika job leo mapema,9 Am nikapigiwa simu, sauti ya dem aka make order ya breakfast for 2 nikamsho anipee 30 minutes ikiwa ready nitapeleka......but hii voice ya huyu dem ilikuwa inanikalia familiar anyway maybe na overthink......πŸ₯ΊπŸ˜©
Breakfast ikawa ready nikaenda nikabisha ....dem akauliza ni nani nikasema room service πŸ’ƒ akaniambia niingie, kuingia napata my husband na my best friend Lucy 😭😭 surely, kwani wanaume hutaka nini aki 🧟🧟 amenidanganya yuko Tanzania kumbe ako na my bestie πŸ’”... bestie naye alinidanganya ameenda kwao kumbe ako na my hubby,niliangusha breakfast 😭😒😩
Nika.imagine vile Lucy huniambia vile niko na hubby mzuri kumbe alikuwa anamumezea 😭 I'm hurt πŸ€•πŸ’”.....
Hubby anaanza kunigombanisha ati nafanya nini hapo πŸ˜ͺ hata haoni nimemkuta .....Lucy naye amenyamaza hasemi kitu aki ndoa ni udevo worshipping 🧟🧟 Nifanye nini mimi 😭Naomba mniombee πŸ’” akii Lucy ni betrayerπŸ§ŸπŸ™„

30/10/2025

Kumbe mnapenda STORIES πŸ˜‚πŸ˜‚
Ukiona hii post nisalimie πŸ‘‹β™₯οΈπŸ™„

30/10/2025

π‡π„π€π‘π“ππ‘π„π€πŠπŸ˜­πŸ˜­π‡πˆπˆ π‹π„πŽ πŒππˆππ˜πˆπŒπ„ π‹πˆπŠπ„π’ 𝐍𝐀𝐃𝐄𝐋𝐄𝐓𝐄 π‡πˆπˆ π€π‚π‚πŽπ”ππ“πŸ₯ΊπŸ₯Ί
Nilienda harusiπŸ‘° na kulikuwa na watu ka 50 hivi😊, nikakaa front seat then wakaanza kuserve foodπŸ˜‹. Kuna mwanamke akaanza kuserve food kutoka nyumaπŸ™Œ, unfortunately food ikaisha kabla haijatufikia huku mbele😞.

Mwanamke mwingine akaanza pia kupeana soda🍾, akaanzia huko mbele na already nilikua nmeenda kiti ya nyumaπŸ₯΄ zikaishia huko katikati, tena nikakosa soda😞😧. Nikakasirika nikaamua niende😏......but before niishie nikaona wanawake watatu wanakam wakiwa na mabakuliπŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜, this time I tried to be wise by sitting at the middle😎.

Mmoja akaanza kuserve kutoka nyuma na mwingine kutoka mbele, this time walikua wanaserve kuku fryπŸ—πŸ˜‹πŸ˜Š, wakati walfika penye nmekaa tena kuku ikaishaπŸ˜₯😫😭.

Nliboeka nikainamisha kichwa nikaeka mikono kwa uso......but kuna huyu mwanamke wa tatu alikuja akanigusa, akaleta bakuli karibu ndo nipick...nikaingisha mkono kwa bakuli😊, wah Jehovah Wanyonyi, ilkuw TOOTHPICKS!!! ya wenye wamemaliza kukulaπŸ˜₯πŸ™ˆπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Nilifaint na nikatambua kupapatika hakuna maana ghaii πŸ˜‚πŸ™ˆπŸ™ˆ

30/10/2025

πŸ™†Unasema mapenzi ya kule shuleni wakati mvua inaendelea kunyesha unakoseaπŸ€”
Nakumbuka kule high skul siku ilikuwa Thursday k**a ya leo 2017 nilikuwa tu backbencher kwa kona darasani nimetulia mvua ikaanza kunyesha nikaona nijiwekelee kidogo juu ya desk nikingoja mvua iishe ndio tuone k**a mwalimu ataingia darasani kwa somo la hesabuπŸ€”.

Nikiwa tu nimetulia kuna crush wangu ambaye alikuwa kiranja wetu akaja kwangu akaketi kando yangu.
Kighafla stima ikapoteaπŸ₯°kagiza kakaingia class πŸ˜‹

Nikaona nipigepige huyo dem mdaro juu ni k**a hiyo siku alikuwa amejitolea kwanguπŸ™†.
Dem akaamua kunipa kissπŸ‘„πŸ’‹
Kwenda kuipokea stima zilirudi kighafla kuangalia kwa mlango nilipata mwalimu wa hisabati ametupiga jichoπŸ€”kisha akasema,'Mike and Ruth follow me to the staffroom'😏

Yalofuata kutoka hapo is a story for another day😩😭

Follow JOURNALIST AYEEBABA

30/10/2025

My friend was cheating on her husband .Alikuwa ananiambia vile hapendi huyo hubby vile ako na mubaba mahali anamtreat poa 😊 me I was just listening to her nikimpea advice k**a hapendi her husband si heri waachane than her living with someone mwenye hapendi.😊
Akasema hawezi wacha the hubby juu ya watoi so ana prefer akae na huyo hubby na huku still aendelee kudate the so called mubaba wake.😿
Mimi naye kuna siku nilikuwa naendea maziwa Baba Tasha(my friend's hubby ) akaniita akaniambia if kuna kitu my bestie ameniambia nimuambie tu coz kuna vile ame change,mimi k**a good fwend nikaambia baba Tasha asijali anytime he wants a shoulder to lean on I'm here ama akitaka massage juu ya stress ya bibi I'm here..🀭😘
Baba Tasha akanisho he didn't mean that way yeye alitaka tu kujua if kuna kitu najua about the wife,nikamwambia mambo ni mengi asijali .....
Masiku zilisonga my friend alizidi kunipea stori vile ako anatesa bwanake mimi nilikuwa nasikiliza tu niki imagine vile Baba tasha ni mcute na anateswa na bibi anyway haidhuru .
Siku moja Baba Tasha akanikujia akaniambia anaona ni k**a bibi anamuacha pole pole juu hata wiki inaeza isha k**a hajarudi .I told him asijali if bibi anamuacha I'll be there for him, I'm single 😌 πŸ’ƒ
Baba Tasha akaingia box and we started dating.Akaanza kuja kwangu we spend some time coz bibi ni k**a haeleweki .Mimi nampenda adi dielewimbona watu wakiwa na wapoa wazuri hawaoni 😊
Sasa Leo my friend alirudi nikaskia akiita jina yangu from outside si nikaficha baba Tasha kwa chooπŸ™„My friend akaingia akanipea story vile amekuwa Busia na mbaba πŸ₯Ίmi naye ni sikio tu 🀐,kidogo akadai kuenda washroom πŸ™„πŸ™„ kuingia huko😳 ...wamepatana na beb wangu huko washroom 😳 imagine sahi ananishautia vee mi ni husband snatcher 😭
Mimi nakuwaje husband snatcher 😭😭 l'm hurt πŸ€•πŸ’”
Naomba ushauri wenyu ... Also ka mume wako anakusumbua namba yangu iko comment section mpe tu πŸ™„
Follow KΓ΅ RΓ―r πŸ™

29/10/2025

Nani anataka ROHOβ™₯️ nimpeπŸ€”

29/10/2025

Names Of Boys Who cannot Give Girls Money!

Mtu ukitajwa usilalamikeπŸ˜‚πŸ˜‚

29/10/2025

Wenye wameolewa na mtoto si wa huyo hubby mkoje,niliolewa na boychild Ako 2yrs sai,Niko na boll ya current hubby Sasa,so siku izi Ako na madharau ingine aki but huwa simuulizi,amekuwa tu na tabia ya kurudi saa nne saa tatu,so Leo nikamkol nikamsho ajaribu kurudi mapema mtoi anadoz mapema ka bado hajakula,ameingia sai ananiambia ye anajua mtoto Ako kwa tumbo ndo anaeza mpea wasiwasi akidoz njaa,ye bado Hana mtoi mwenye nashinda nikimkol ,weuh nimeshindwa Cha kujibu but ameniambia ukweli yenye siezi pinga but waaa, sijui nitoe tu hii bol Iko 3 months na nijipende na mtoto wangu nimuondokeee ama nifanye aje?
She's following comment section πŸ’―

28/10/2025

mvua kidogo hivi mshatoka online...kwani mnado?πŸ₯ΉπŸ₯ΊπŸ€­

Want your public figure to be the top-listed Public Figure in Eldoret?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Eldoret