Umoja Radio
27/09/2023
Nchi Tatu za Afrika mashariki zimeteuliwa na k**ati ya CAF kuandaa mashindano ya Afrika mwaka 2027.
Nchi za Kenya, Uganda na Tanzania zitaandaa kwa pamoja michuano hiyo.
12/06/2023
Baada ya kupoteza kwa fainali ya Ligi ya Mabingwa, Inter iko wazi kuhusu mustakabali wa Lukaku. Ikiwezekana, Inter Lukaku atakaa Italia kwa mwaka mwingine mmoja.
Yaliyotokea hapo Jumamosi iliyopita amesamehewa. Inter wangependa kuazima Lukaku kutoka Chelsea msimu ujao. Lukaku ni mchezaji anayekaribishwa nchini Italia. Ni muhimu si tuo kwenye uwandja ila pia kwenye chumba cha kubadilishia nguo na kwenye. Msimu uliopita alipata njia ya kufunga mara kumi na nne.
Inter wanataka kumkodi mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 30 kutoka Chelsea kwa msimu mwingine, lakini kwa bei ya chini. Inter walilipa euro milioni 7.8 bila bonus kwa Lukaku msimu huu. Lukaku mwenyewe yuko tayari kucheza nchini Italia kwa mshahara mdogo.
04/06/2023
BENZEMA, HAZARD WAONDOKA REAL MADRID ,IBRAHIMOVIC ATAFUTA KLABU MPYA | UMOJA RADIO Karim Benzema anaondoka Real Madrid baada ya miaka kumi na minne. Mshambulizi huyo wa Ufaransa na klabu hiyo kubwa ya Uhispania wamekubali kusitisha mkataba huo ambao ulikuwa ukiendelea kwa mwaka mmoja.
Klik hier om uitgelicht te worden.
Telefoon
Website
Adres
Mudakkers 4
Lommel
3920