Zanzibari Yetu
30/10/2014
Jaji Mutungi:Ruzuku ni changamoto kwa Ukawa http://wp.me/p2Hr2P-4Gz
Jaji Mutungi:Ruzuku ni changamoto kwa Ukawa Dar es Salaam. Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi amesema Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) unakabiliwa na changamoto kubwa suala la ruzuku. Ingawa hakutaka kuingia kwa undani kuelezea changamoto hiyo, Jaji Mutungi alisema anaona ugumu wa Ukawa katika kushughulikia tatizo hilo, lakini akaongeza kuwa wakati ukifika ofisi yake italizungumza. [ 287 more words. ]
Want your business to be the top-listed Media Company in Stone Town?
Click here to claim your Sponsored Listing.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Address
Stone Town
255
255