daxsamjr
Jukwaa la mambo ya kijamii, Michezo, pamoja na kupeana taarifa juu ya Mazingira, Haki za binadamu, utunzaji wa Bioanuai na Mambo mengine ya kiuchumi na maendeleao ya jamii k**a Uongozi, siasa Safi na Biashara za mitandao
karibuni sana
24/12/2022
SAIDO Ntibazonkiza ni Mnyama.... Kila lenye heri katika maisha mapya
17/12/2022
Chelsea yamalizana na Mshambuliaji mfaransa Christopher Nkunku kutoka RB Leizipig kwa dau la £53 na Mshahara mzuri sana....via Fabrizio Romano
22/11/2022
MAN UNITED wavunja mkataba kwa makubaliano ya pande zote mbili katika yao na Mchezaji wao Ronaldo....Ujumbe rasmi wa Klabu ya Man United inasomeka Kubwa wanamshukuru Mchezaji huyo kwa vipindi viwili avyoitumikia timu hiyo
Ally Kamwe anajukumu zito la Kuwatumia Mashabiki wa Young Africans Sports Club Ili kuwafanya Wachezaji wa Yanga wajue kuwa wanaowapigania ni mashabiki
09/09/2022
Karibu darajani Potter, New Chelsea head Coach
KIKOSI CHA CHELSEA UEFA 2022/23
CONFIRMED: Chelsea's 2022/23 Champions League squad:
Goalkeepers: Kepa Arrizabalaga, Edouard Mendy, Marcus Bettinelli.
Defenders: Thiago Silva, Trevoh Chalobah, Ben Chilwell, Reece James, Kalidou Koulibaly, Cesar Azpilicueta, Marc Cucurella, Wesley Fofana
Midfielders: Jorginho, N'Golo Kante, MateoKovacic, Mason Mount, Denis Zakaria, Conor Gallagher, Carney Chukwuemeka, Ruben Loftus-Cheek.
Forwards: Raheem Sterling, Christian Pulisic, Hakim Ziyech, Kai Havertz, Pierre-Emerick Aubameyang.
[ UEFA ]
Goodluck lads. 🌟
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the organization
Website
Address
Moshi