daxsamjr

daxsamjr

Share

Jukwaa la mambo ya kijamii, Michezo, pamoja na kupeana taarifa juu ya Mazingira, Haki za binadamu, utunzaji wa Bioanuai na Mambo mengine ya kiuchumi na maendeleao ya jamii k**a Uongozi, siasa Safi na Biashara za mitandao
karibuni sana

24/12/2022

SAIDO Ntibazonkiza ni Mnyama.... Kila lenye heri katika maisha mapya

17/12/2022

Chelsea yamalizana na Mshambuliaji mfaransa Christopher Nkunku kutoka RB Leizipig kwa dau la £53 na Mshahara mzuri sana....via Fabrizio Romano

22/11/2022

MAN UNITED wavunja mkataba kwa makubaliano ya pande zote mbili katika yao na Mchezaji wao Ronaldo....Ujumbe rasmi wa Klabu ya Man United inasomeka Kubwa wanamshukuru Mchezaji huyo kwa vipindi viwili avyoitumikia timu hiyo

17/10/2022

Ally Kamwe anajukumu zito la Kuwatumia Mashabiki wa Young Africans Sports Club Ili kuwafanya Wachezaji wa Yanga wajue kuwa wanaowapigania ni mashabiki

09/09/2022

Karibu darajani Potter, New Chelsea head Coach

05/09/2022

KIKOSI CHA CHELSEA UEFA 2022/23
CONFIRMED: Chelsea's 2022/23 Champions League squad:

Goalkeepers: Kepa Arrizabalaga, Edouard Mendy, Marcus Bettinelli.

Defenders: Thiago Silva, Trevoh Chalobah, Ben Chilwell, Reece James, Kalidou Koulibaly, Cesar Azpilicueta, Marc Cucurella, Wesley Fofana

Midfielders: Jorginho, N'Golo Kante, MateoKovacic, Mason Mount, Denis Zakaria, Conor Gallagher, Carney Chukwuemeka, Ruben Loftus-Cheek.

Forwards: Raheem Sterling, Christian Pulisic, Hakim Ziyech, Kai Havertz, Pierre-Emerick​ Aubameyang.

[ UEFA ]

Goodluck lads. 🌟

Want your organization to be the top-listed Government Service in Moshi?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address

Maliasili Mwanga
Moshi