Dakika 90

Dakika 90

Share

19/04/2026

Je wajua Zimbwe ambae ni beki ana bao mbili Sawa na Oura ambae ni mshambiliaji ??πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„

16/04/2026

Hii ni kwa yoyote aliyepata sare πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„hakika kikombe atakinywea , angalizo sijaitaja timuπŸ–‹οΈ

15/04/2026

Saiv huwezi sikia kesi ya CAS walivoiua maiti πŸ˜„πŸ˜„ subili watoe sare utasikia Mwamnyeto sio raia wa Tanzania , hawΓ  ndio mabingwa wa zaman wa kombe la mapinduzi Simba fcπŸ˜„

07/01/2026

Thank you Romain Folz"

Kipindi anafukuzwa sikua na simuπŸ˜‰

07/01/2026

Za ndaniii Muda huu kuna kiongozi wa timu moja huko Venezuela anatamani timu yake ifungwe ili isikutane na Yanga ya ligi kuu nchini Uswis duru zinaarifu kocha wao mpya amesema yeye anataka ushindi huku viongozi wakikataa kushinda πŸ˜‰

Want your public figure to be the top-listed Public Figure in Mbeya?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address

Tunduma
Mbeya