Simba Sc

Simba Sc

Share

06/01/2023

Kesho Jumamosi kikosi kitaondoka nchini kuelekea Dubai 🇦🇪 kuweka kambi ya mazoezi.

Kambi hii ni mwaliko kutoka kwa Rais wa Heshima wa Simba, MoMohammed DewjieMohammed DewjiTaarifa zaidi kwenye Simba App.

03/01/2023

🔺MALENGO YA KOCHA KUBEBA UBINGWA WA CAF 🔸“Nimekubaliana na changamoto mpya. Ukiwaza makubwa unafanya makubwa, malengo ni kufika Nusu Fainali na hata fainali, inawezekana.”

Roberto Oliveira, Kocha Mkuu wa Klabu ya si ya SiSimba SC TanzaniaCSimba SC TanzaniaaSimba SC Tanzania....

24/12/2022

Karibu kwa wakubwa wa Afrika mashariki mwamba

24/12/2022

Saido ni Mnyama Rasimi

Want your public figure to be the top-listed Public Figure in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address

Dar Es Salaam