Baba Sabs
10/02/2024
Pumzika kwa amani Mzee Edward Ngoyai Lowasa.
27/01/2024
Nakutakia maisha marefu yenye amani na afya, Mh. Rais mama . Heri ya siku ya kumbukizi kuzaliwa kwako, mama.
24/12/2023
Ukiwa sio mla rushwa, unakuwa huru duniani hata mbinguni. Ungeamua kuchukua rushwa nani angejua!?
Natamani siku moja nikupe mkono na kukwambia HONGERA SANA comrade Mh. Waziri
Aina ya viongozi k**a wewe ndio watatuvusha.
HONGERA SANA.
13/12/2023
Tukiishi humu, tutafika tupatakapo, hongera Mh .
Want your school to be the top-listed School/college in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Website
Address
Arusha