PDK generation
09/05/2025
DAWA YA ASILI YA KUTIBU MAUMIVU YA PERIOD KWA WANAWAKE
Majani ya mti wa matunda aina ya mapera yameonekana kuwa na ufanisi mkubwa katika kutibu maumivu yatokanayo kwa wanawake, yale wanayoyapata kila mwezi "wanapoingia period" .
Utafiti uliofanywa kwa wanawake wanaokutana na maumivu hayo umeonesha kwamba majani hayo yanaweza kutumika k**a mbadala wa dawa zilizozoeleka k**a vile ibuprofen.
Tembelea YouTube channel ya PDK Generation upate kusikia mengi zaidi kuhusu mti huu.
Want your school to be the top-listed School/college in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Contact the school
Address
Arusha