Ulimwengu wa Michezo

Ulimwengu wa Michezo

Share

23/06/2026

Yanga watakubali kufungwa mara mbili mfululizo na Azam FC? 🤔 Mhh, ngoja tuone kesho! Lakini kwa ubora wa kikosi na hamasa ya kulipa kisasi, naona Yanga wana nafasi kubwa ya kurejea kwa nguvu. Moto wa mchezo huu ni wa kusubiri hadi dakika ya mwisho! 🔥⚽

23/06/2026

Rasmi klabu ya Al hilal,imemtambulisha nchezaji wao mpya,Haman Mandjan (25) kutoka Stade Malien✅
Fundi Yanga Fundi

Kiungo huyo amesaini leo baada ya kufuzu vipimo vya afya✅

Want your public figure to be the top-listed Public Figure in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address

Sinoni
Arusha