Nesi J4
19/08/2022
Kwanini mtu hufikia hatua ya kujitoa uhai? 🤔🤔🤔
Si watu wengi Wana nguvu ya kusema sasa ninafikiria kujitoa uhai!
Inafika wakati mtu afikie hicho kiwango Cha kujitoa maisha yake amekuwa amewaza na kuwazua, anakua na shida nyingi Sana ukimwangalia kwa uso yuko sawa lakini kinawazo yale anayo yafikiria hujajui ndo maana tunasema sio vizuri tukae chini tunyamaze, tuzungumze na tuulizane - Je, afya yako ya Akili iko sawa?
https://nesijeyfo.com/?p=222
Want your practice to be the top-listed Clinic in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the practice
Telephone
Address
Arusha
0000
0000