AFYA TIPS
๐๐๐๐๐๐ ๐ญ๐ ๐๐จ๐ฉ๐๐ ๐๐ ๐๐ช๐ ๐ง๐๐ญ๐ ๐๐จ๐ ๐;
โKukojoa Mara kwa mara.
โkubakiza mkojo kwenye kibofu.
โkukojoa sana usiku.
โMaumivu wakati wa kukojoa na mkojo usioenda mbali.
โKupungukiwa nguvu za kiume
โUTI ya Mara kwa mara.
โMawe kwenye kibofu kutokana na mrundikaniko wa mkojo.
โFigo kujaa maji, hii Ni kwasababu mkojo huo unarudi nyuma kuelekea kwenye figo.
โKupoteza fahamu.
โMaumivu ya Mara kwa mara ya kiuno kwa nyuma ya mgongo na mapaja.
โUume kushindwa kusimama vizur.
โKuwa na wakati mgumu wakati wa kukojoa na kuzuia mkojo.
K**a una tatizo la tezi dume au unataka kujikinga tuna dawa nzuri za kukabiliana na tatizo la tezi dume
Kwa mawasilano na tiba
๐๐๐๐ 0767477033
๐๐๐๐๐๐๐๐ bonyeza hapa http://wa.me/+255767477033
02/04/2022
*TIBA YA KUDUMU YA BAWASIRI {NDANI NA NJE}*
*BAWASIRI {HEMORRHOIDS/PILE*
โ Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa na kuoelekea kuota kinyama sehemu ya haja kubwa
*CHANZO CHA BAWASIRI*
โ Tabia ya kuketi sehemu moja kwa muda mrefu mfano; madereva
โ Tatizo sugu la kuharisha
โ Ujauzito
โ Uzito wa mwili kupita kiasi
โ Kufanya ngono kupitia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
โ Kupata haja kubwa ngumu
โ Kua na mgandamizo mkubwa tumboni
โ Kunywa pombe
โ Kula sana nyama nyekundu
โ Vidonda vya tumbo
โ Ngiri(Chango/Hernia
โ Kula sana pilipili
โ Kunyanyua vitu vizito
*DALILI ZA BAWASIRI*
โ Kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
โ Kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa
โ Kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa
โ Kupata kinyesi chenye damu
โ Kupata maumivu makali wakati wa
kujisaidia haja kubwa
โ kutokwa na uteute sehemu ya haja kubwa
โ Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa na kusababisha mishipa ya sehemu ya haja kubwa kukwanguliwa
โ Kuna uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya utumbo (Cancer) kwasababu kile kinyama kinakaa k**a kidonda
โ Uume kusinya (unapoteza urefu na ukak**avu)
*MADHARA YA BAWASIRI*
โ Upungufu wa damu mwilini
โKutokwa na kinyesi bila kujitambua
โ Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
โ Kupungukia nguvu za kiume (kwa wanaume)
โ Kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
โ Kupata tatizo la kisaikolojia
โ Kutopata ujauzito
โ Mimba kuharibika
Callโtext&smsโwhatsapp๐
0767477033
SHARE kwenye MA GROUP NA WATU MBALI MBALI UWASAIDIE WENGI WANAO TESEKA ๐๐๐
PID__ Ni maambukizi kwenye via vya uzazi kwa mwanamke (Ni tofauti na U.T.I)Yani maambukizi haya yanaanzia kwenye Via vya uzazi wa mwanamke Sehemu za uke na sio njia ya mkojo ,inapanda juu kwenye mlango wa kizazi ,mfuko wa kizazi mpaka kwenye mirija ya uzazi
*Dalili Za PID*
PID inaweza isilete _dalili zo zote mbaya na ndogo zikitokea zinaweza_ kuwa ngumu kuzigundua. Baadhi ya wanawake hawapati dalili zo zote. Pale zinapojitokeza, zinaweza kuwa:
โMaumivu โ yanaweza kuwa madogo au makali โ maeneo ya chini ya tumbo au nyonga
โUchafu usio wa kawaida au mzito ambao unaweza kuwa na harufu mbaya
โ Kutokwa damu kusiko kwa kawaida, hasa wakati wa tendo la ndoa, au katikati ya siku
โMaumivu wakati wa kujamiiana
โHoma, wakati mwingine kusikia baridi
โ Maumivu wakati wa haja ndogo, haja ndogo ya mara kwa mara au haja ndogo kutoka kwa shida.
โMiwasho ukeni
โkuharibika kwa ujauzito
โkushindwa kubeba ujauzito
๐Endapo pid haitatibiwa mapema uharibu mirija ya uzazi (mirija kujaa maji na hivyo hushindwa kubeba ujauzito ,ujauzito kutunga nje ya kizazi ,ujauzito kuharibika
K**a Una Shida Au Tatizo moja Kati Ya Hayo Hapo Juu
Usisite Kuwasiliana Nami kwa Suluhisho la tatizo hili la
P.I.D
Wasiliana nasi 0757138602
Click here to claim your Sponsored Listing.