QUIZ Radio
10/11/2025
Mwimbaji maarufu wa nyimbo za injili..Betty Bayo amefariki dunia akipokea matibabu katika hospitali ya Kenyatta
Betty Bayo amekuwa akiugua saratani ya damu ....(Lukemia )
10/11/2025
Leo magazetini
24/10/2025
Yaliyomo Leo magazetin
15/10/2025
Kiongozi wa ODM Raila Odinga aaga dunia.
Habari za kifo chake zimethibitishwa asubuhi ya leo.
Maisha ya Raila kisiasa yanachukua zaidi ya miongo minne, kwani ni mhusika mkuu katika vita vya Kenya vya demokrasia ya vyama vingi na aliwekwa kizuizini mara kadhaa wakati wa utawala wa Rais Moi.
Baada ya demokrasia kurejeshwa, alikuwa mbunge wa Langโata mwaka wa 1992 na tangu wakati huo amekuwa kitovu cha siasa za Kenya.
Raila amewahi kuwa Waziri wa Nishati, baadaye wa Barabara na Makaazi na alikuwa Waziri Mkuu wa Kenya katika serikali ya mseto ya mwaka 2008 na Rais Mwai Kibaki.
Amewania urais mara tano - mwaka wa 1997, 2007, 2013, 2017 na 2022 - akibaki mmoja wa viongozi wa upinzani wenye ushawishi mkubwa na mtetezi wa mageuzi nchini Kenya.
Mola ailaze roho yake pema panapofaa ๐๏ธ๐๏ธ๐๏ธ๐๏ธ๐๐
07/10/2025
Magazetini Leo Asuunbui
03/10/2025
Leo Magazetini
01/10/2025
Good morning Leo Magazetini
29/09/2025
Miongoni ya liomo Magazetini Leo
27/09/2025
26/09/2025
Rais mstaafu Uhuru Kenyatta amewarai wafuasi na wanachama wa Chama cha Jubilee kuwa na fikra pana katika kuwachagua viongozi walio na maono ya maendeleo ili kufanikisha ajenda ya wananchi.
25/09/2025
Magazetini Leo
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Kitale
30200