RENGSTAR

RENGSTAR

Share

Photos from RENGSTAR's post 28/03/2026

📍 The NYOTA Effect in Siaya County

Brighton, a young entrepreneur from Siaya County, invested the business start-up capital in setting up a temporary production space and purchasing wheat flour to start his bakery business.

Today, he produces approximately 250 pieces of small mandazis daily, selling at KSh 10 each.
Through disciplined saving, Brighton has already raised KSh 17,000 towards purchasing a motorbike to support distribution, positioning his business for wider reach.
He has also created employment for two fellow youth, extending the impact beyond his own venture.

26/03/2026

Jana Oga Obinna aliuliza Morara Kebaso ile pesa alichangiwa na Wakenya ilienda wapi, akasema most that money ilitumika kwa fuel wakizunguka nchi nzima,walisafiri karibu 29,000 kilometers, wakafika counties 32 na kutembelea zaidi ya projects 95. Akaongeza kuwa kulikuwa na misunderstanding kuhusu fundraising, hivyo wakarefund k**a 2.4 million kwa wale waliomba pesa zao, na wale hawakuomba alichukulia wanaelewa purpose ya mchango. Akasema Hana deni ya mtu yeyote na anashukuru wale walimsupport.

Pia alisema tangu hapo ameendelea kufanya kazi pole pole na pesa yake mwenyewe, akitumia hadi millions kadhaa kwa shughuli hizo, si kulalamika bali kwa sababu anapenda nchi yake na anaamini tukipata voters bora, tunaweza pata nchi bora.

16/03/2026

Those that are starting life and they want to have somewhere they can Put their head when on holidays.

Usiogope kuenda ushago sababu Hauna nyumba.. Budget? Will depend on some factors like The availability of Construction materials, The size of the rooms/house, The design amongst others..

Look at this pocket friendly semipermanent house 🏠
(i don't own the picture)

Want your public figure to be the top-listed Public Figure in Eldoret?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Address

Moi Avenue
Eldoret
205