Kristo Mlangoni

Kristo Mlangoni

Partager

20/09/2024

TUTATOBOA KWA NGUVU ZA MUNGU.

Sheria aina dumu mbele ya imani ; sheria zetu za kidini na za ma dhehebu( kanisa) yetu ni jela inayo tuweka mbali na KRISTO YESU, tumefungwa hatuwezi kusimama ; tumefungwa chini ya taratibu ya ma dhehebu yetu.
Naamini Mungu hamtupi mja wake,

24/06/2024

ACHENI UJINGA WAISLAMU NA WA KATOLIKA..! AMININI YESU KRISTO.

KRISTO MLANGONI.

02/04/2024

Kitabu 📕 hiki cha injili, kiko hewani. Ukikiitaji tuandikie 📥

29/03/2024

Kweli ya Neno la Mungu inapigwa vita maaali pote katika Dunia. mwinjilisti mwenzangu nakuomba upambane hata k**a unagombanishwa kwa ajili ya kweli ya Neno la Mungu katika dhehebu yenu, amini kuwa autumikii dhehebu yenu ila Yesu Kristo aliye shinda kifo na mauti musalabani.
KRISTO MLANGONI.

Vous voulez que votre personnage public soit Personnage Public la plus cotée à Uvira ?
Cliquez ici pour réclamer votre Listage Commercial.

Type

Téléphone

Site Web

Adresse

Uvira

Heures d'ouverture

Mardi 09:00 - 22:00
Jeudi 09:00 - 22:00
Vendredi 09:00 - 22:00
Samedi 09:00 - 22:00
Dimanche 09:00 - 22:00